.
11th April, 2018
Watu watatu hawajulikani waliko katika eneo la samburu
kaskazini huku nyumba zaidi ya 15 zikisombwa na
mafuriko shirika la red cross kaunti ya samburu
linasema maafisa wake tayari wameanzisha juhudi za
kuwatafuta waathiriwa hao. Shirika hilo pia limeanzisha
shughuli za kuangazia hali ya mafuriko ilivyo eneo hilo ili
kutathmini njia za kuzuia majanga ya aina hiyo kutokea