9th April, 2018
Timu ya Thika United iliandikisha ushindi wao wa kwanza katika ligi kuu ya soka nchini kwa kuwacharaza Sofapaka mabao mawili kwa moja kwenye mechi iliyochezwa ugani Thika.Kepha Aswani aliwaweka Sofapaka kifua mbele katika kipindi cha pili lakini Thika wakasawazisha kupitia Masakidi Mata kisha Adem Edmond akawafungia la pili kuwahakikishia ushindi huo muhimu