×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mbiu ya KTN: Suala la ardhi Kwale

5th April, 2018

Serikali ya kaunti ya Migori imeanza mpango wa kupanda miti katika shule za msingi kama njia ya kuimarisha mazingira. Akizungumza katika uzinduzi huo mwenyekiti wa Migori rottary club Ojwando bobo amesema kuna mpango huo wa kupanda miti miche milioni moja katika shule 800 za msingi katika muda wa mwaka mmoja. Siku ya jana wanafunzi wa shule ya msingi ya relief academy walipanda miche 400 katika mpango huo kwa jina green Migori.

.
RELATED VIDEOS