Wamiliki wa magari wamesalia kukadiria hasara baada ya mvua kuangusha mti ulioangukia magari yao
17th March, 2018
Baadhi ya wamiliki wa magari waliokuwa wameegesha magari yao katika uwanja wa kuegesha wa hoteli ya serena hapa jijini Nairobi wamesalia kukadiria hasara baada ya mvua ya leo kuangusha mti mkubwa ulioangukia magari yao.