.
28th February, 2018
Timu ya mpira wa voliboli ya kina dada Kenya prisons imeahidi kwamba itatwaa taji la bara Afrika la mwaka huu katika mashindano yatakayoandaliwa mchini Misri. kocha mkuu David Lung'aho amesema kwamba mwaka huu lengo lake ni kutwaa taji hilo ambalo walishinda mwisho mwaka 2013.