23rd February, 2018
Kujifungua kwake kwenye basi kungeonekana na wengi kuwa bahati mbaya,lakini kwa Fatma Ibrahim,malaika aliyemzaa akiwa safarini kutoka malaba kulimpa mwana msaada wa maisha yake ya baadaye.Hii ni baada ya kampuni ya basi alimokuwa akisafiria kumpa msaada baada ya kujifungua,hali isiyo kawaida.