×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waathiriwa wa ugonjwa wa Saratani watembelea kituo cha KTN

15th February, 2018

Kila mwaka tarehe kama ya leo ulimwengu huadhimisha siku ya saratni miongoni mwa watoto. Siku inayotengwa kusisitiza umuhimu wa matibabu kando na kupigamsasa hatua zilizopigwa, katika matibababu ya saratani. Takwimu kuhusiana na ugonjwa huo miongoni mwa watoto wachanga bado ni haba na hivyo basi kutoa changamoto katika hatua ya matibabu. Kufuatia maadhimisho hayo waadhiriwa wa ugonjwa huo walitembelea stesheni ya KTN News. 

.
RELATED VIDEOS