.
14th February, 2018
Zaidi ya shule 50 katika katika bonde la Kerio zimetakiwa kufungwa kutokana na utovu wa usalama unaoendelea katika maeneo hayo. Wanafunzi waliandamana kutafuta haki yao huku wadau husika wa usalama wakiendelea kulaza damu huku wakazi wakendelea kuuana. Elvis Kosgei alijapata katikati mwa bonde ambapo risasi ni kawaida kama ibada. Elvis Kosgey anatupa hoja