×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanafunzi wafanya maandamano baada ya shule zaidi ya hamsini kufungwa kufutilia mzozo bondeni Kerio

14th February, 2018

Zaidi ya shule 50 katika katika bonde la Kerio zimetakiwa kufungwa kutokana na utovu wa usalama unaoendelea katika maeneo hayo. Wanafunzi waliandamana kutafuta haki yao huku wadau husika wa usalama wakiendelea kulaza damu huku wakazi wakendelea kuuana. Elvis Kosgei alijapata katikati mwa bonde ambapo risasi ni kawaida kama ibada. Elvis Kosgey anatupa hoja

.
RELATED VIDEOS