×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Chama cha wanahabari wa michezo kimepigwa jeki baada ya LG kutoa wa shillingi milioni sita

13th February, 2018

Chama cha wanahabari wa michezo kimepigwa jeki baada ya kampuni ya LG kutoa  ufadhili wa shillingi milioni sita ambazo zitawezesha chama hicho kutuza wachezaji bora kila mwezi katika ligi kuu ya kandanda nchini. Chama hicho kitamtuza mchezaji bora kila mwezi na mchezaji huyo atapokea televisheni. Kampuni hiyo ya LG pia itasaidia chama hicho kuandaa tuzo za mchezaji bora mwishoni mwa msimu.

.
RELATED VIDEOS