.
30th January, 2018
Wakati mwingi mikutano ya kisiasa hukumbwa na vurugu na makabiliano, na kusababisha wananchi jijini Nairobi kuwa na hofu kuendeleza shughuli zao za kawaida. Kufuatia hafla ya kumuapisha RAila Odinga siku hii, carolyne bii alizuru katikati mwa jiji ili kuchunguza hali ilivyokuwa kisha akapakua.