.
28th January, 2018
Eneo la Tharaka Nithi ni moja wapo ya sehemu ambazo
zimelalamikia uteuzi wa baraza la mawaziri. Gavana wa
Tharaka Nithi, Muthomi Njuki amesema kuwa serikali ya
Jubilee imewabagua watu wa jamii hiyo. Paul Nabiswa
anatuarifu ni kwa nini