×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali kupitia Kamanda wa polisi Koome,yasema kuwa haitoruhusu mtu yeyote kuingia Bustani ya Uhuru

28th January, 2018

        Utata umeendelea kuigubika bustani ya Uhuru, Nairobi

        ambako muungano wa NASA umesisitiza kuwa utaandaa hafla

        ya kumuapisha Raila Odinga na Kalonzo Musyoka siku ya

        jumanne. Hata hivyo, serikali hii leo kupitia kamanda wa

        polisi japehth koome imesisitiza kuwa hakuna mkutano

        wowote utakaoandaliwa katika eneo hilo. Na kama

        mwanahabari wetu wa masuala ya siasa Jeff Kirui

        anavyotuarifu, NASA inashikilia kuwa imejiandaa kwa hafla

        hiyo licha ya naibu rais William Ruto kuongoza Jubilee

        kusisitiza kuwa hawautambui uapisho huo. 

 

.
RELATED VIDEOS