.
27th January, 2018
Viongozi wa NASA wamesisitiza kuwa hakutakuwa na mazungumzo kabla jumanne, siku ambayo imetengewa hafla ya kuwaapisha Raila Odinga na Kalonzo Musyoka. Wakizungumza huko Homabay, vinara watatu wa nasa Raila Odinga, Kalonzo Musyoka na Musalia Mudavadi wamesema kuwa ni sharti watafute mbinu ya kukomesha wizi wa kura katika siku zijazo. Haya yanajiri huku rais uhuru kenyatta akiwa amewapendekeza mawaziri watakaohudumu katika baraza lake