×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mifugo wapata chanjo dhidi ya ugonjwa wa petis des peste katika kaunti ya West Pokot

17th January, 2018

Wafugaji katika kaunti ya West Pokot wamepata sababu ya kutabasamu baada ya mifugo wao kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa petis des peste. Kulingana na msimamizi wa afya kwa wanyama daktari James Meririsia, ugonjwa huo uliripotiwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 2007. Zaidi ya mifugo elfu themanini walipokea chanjo hiyo iliyofanyika katika kijiji cha dungudungu. Haya yote katika juhudi za kuondoa magonjwa yanayoathiri wanyama.

.
RELATED VIDEOS