16th January, 2018
Gavana wa Nyeri Mutahi Kahiga amezindua mpango wa kusafaisha mji. Hata hivyo, amekiri hali mbovu ya usafi imesababishwa na ukosefu wa fedha. Ameahidi pia kwamba usafishaji wa miji utaenezwa kutoka Nyeri mjini hadi viungani mwake.
19th September, 2023
3rd August, 2023
28th July, 2023
Subscribe to our newsletter and stay updated on the latest developments and special offers!