×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu watano wafariki katika maeneo ya Sigalagala kwa barabara ya Kakamega-Kisumu

12th January, 2018

Watu watano wamefariki katika ajali ya barabarani katika eneo la sigalagala kwenye barabara ya Kakamega ? Kisumu ajali hiyo iliyotukia jana usiku ilihusisha gari dogo na pikipiki. Waliofariki walikuwa wamebebwa kwenye pikipiki moja wakati wa ajali hiyo ambapo gari hilo na pikipiki ziligongana ana  kwa ana. Abiria wa bodaboda hiyo walikuwa wakielekea kwa mazishi ya jamaa wao katika eneo la musingu. Hali ya huzuni ilitanda katika kijiji hicho huku wenyeji wakiomboleza kufariki kwa watu hao wa familia moja . 

.
RELATED VIDEOS