.
1st December, 2016
Kenya inapojiunga na mataifa mengine katika maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani, takwimu za ripoti ya kutathmini maambukizi ya ukimwi nchini inaonyesha kwamba kaunti ya Homabay inaongoza kwa maambukizi hayo kwa 26% ikilinganishwa na taifa mzima ambapo maambukizi hayo yanakadiriwa kuwa 6%. Mwanahabari Sycilia Wakesho alizuru maeneo ya kaunti hiyo na anatupa hali halisi.