.
30th October, 2016
Katika mseto wa taarifa jamii ya wahindi yaandaa hafla ya Diwali ambpo fataki zilifyatuliwa huko Mombasa huku watu wanne wanaoishi na ulemavu katika maeneo ya Rift Valley wakipata afueni baada mhisani kujitokeza kuwasaidia. Sycilia Wakesho na taarifa hizi na nyinginezo