.
29th October, 2016
Wabunge sita wa ODM, naibu gavana na gavana mmoja huenda wakapoteza viti vyao wakati wowote kuanzia sasa iwapo kamati kuu pamoja na baraza la kitaifa na uongozi la chama hicho zitaidhinisha mapendekezo ya kamati ya nidhamu ya chama hicho.kama anavyotuarifu ripota wetu wa masuala ya kisiasa Duncan Khaemba , huenda taifa likashuhudia uchaguzi mkuu mdogo, iwapo IEBC itaandesha chaguzi ndogo katika maeneo yatakayoathirika