.
10th October, 2016
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameitaka serikali kusitisha mradi wa ujenzi wa mabomba unaolenga kusambaza maji kutoka Murang’a na kuelekezwa katika kaunti ya Nairobi. Raila amesema kuwa mradai huo anaodai unafadhiliwa na benki ya dunia utagharimu shilingi bilioni 6 nukta nane na utazua kiangazi katika maeneo mbalimbali nchini.