.
2nd October, 2016
Mtazamaji sio rahisi kwa mtu kuwa radhi kuitwa omba omba almuradi tu watoto wasio wake wafaidike. Kwenye makala ya mwanamke ngangari Sycilia Wakesho anaangazia mwanamke mmoja katika mtaa wa Githurai hapa jijini Nairobi ambaye sifa zake zimetanda kote kwani yeye hurauka na kuwaomba wahisani unga, mchele na hata mboga almradi aweze kuwapikia baadhi ya watoto wasiojiweza katika shule ya msingi ya kimbo, licha ya kuwa anayamudu maisha yake kwa vibarua vya kuwafulia watu nguo.