Buriani Dadaab 18 Julai 2016 [Sehemu ya Pili]
18th July, 2016
Mogadishu Somalia, nyumbani kwa asilimia kubwa ya wakimbizi wa kambi ya dadaab nchini kenya. Rahma alifika hapa akiwa na miaka kumi na mitatu kutafuta salama, lakini ghafla bin vu hewa ya hifadhi ikamkimbia. Hadithi ya rahma imevuta sikio la wengi , mawanaharakati wa tuzo la amani la nobel , malala yousafzai alipozuru kambi ya dadaab hivi majuzi , alilakiwa na rahma , wawili hawa wakiwa wamepitia kadhia na masaibu sawia , sasa anatajwa kama kioo cha jamii.