Machifu wawili waliosimamishwa kazi wamekamilisha matibabu ya uraibu wa pombe
18th May, 2016
Machifu wawili waliosimamishwa kazi kwa sababu ya kuwa walevi wakiwa kazini wamekamilisha matibabu ya uraibu wa pombe katika hospitali ya Mathari Nairobi. Machifu hao kutoka Nyandarua na Nakuru walitembelewa na mwenyekiti wa shirika la NACADA John Mututho. Mark Namaswa na taarifa zaidi.