.
20th January, 2022
Rais Uhuru Kenyatta amepiga marufuku biashara ya vyuma vikuukuu kote nchini na nje ya nchi. rais alitangaza marufuku hiyo alipoongoza hafla ya kufuzu kwa maafisa wa polisi katika kituo cha mafunzo ya polisi cha kiganjo kauni ya nyeri. akitoa marufuku hiyo, rais amesema kuwa baadhi ya wahalifu wamekuwa wakiharibu miradi ya serikali ili kupata vyuma vya kuuza ili kujinufaisha kibinafsi. clement masombo anaarifu zaidi.