Seneta Gideon Moi aitaka serikali kutenga fedha za kuwakinga wasanii na changamoto za maisha
30th November, 2021
Seneta wa Baringo Gideon Moi aitaka Wizara wa Michezo na Utamaduni kutowasahau wakongwe waliogonga vichwa vya habari katika taaluma na vipaji mbali mbali.