.
19th June, 2021
Ni dhahiri kuwa baadhi ya wakenya bado wanakiuka kanuni za kukabiliana na korona zilizowekwa katika kaunti 13 za magharibi na kanda ya Ziwa Victoria. Abiria watatu walifarikki katika ajali ya gari aina ya Nissan lililoanguka baada ya saa za kafyu katika barabara ya Keroka Sotik. Vivyo hivyo watu kadhaa wamekamatwa na polisi katika maeneo tofauti ya kaunti husika.