×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Raphael Tuju adai kuwa migogoro ambayo imekuwa ikishuhudiwa chama cha Jubilee imechochewa na ukabila

9th June, 2021

Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju sasa anadai kuwa migogoro ambayo imekuwa ikishuhudiwa katika chama cha Jubilee imechochewa na ukabila. Tuju amekanusha shutuma kwamba yeye ni mmoja wa viongozi ambao wamefanya chama hicho kikose mwelekeo akisema kuwa chamgamoto kuu imekuwa ni ukabila akidai kuwa kumekuwa na jaribio la kumg’oa mamlakani kwa misingi ya kabila lake. Chama hicho sasa kinajiandaaa kufanya uchaguzi wa mashinani hadi afisi za kitaifa hivi karibuni.

.
RELATED VIDEOS