.
29th May, 2021
Hisia mseto zinazidi kutolewa baada ya pendekezo kutoka kwa baadhi ya wabunge na maseneta kuchukua mkondo wa kufanya marekebisho kwenye katiba kupitia bunge. Haya yamejiri baada ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa Odm Raila Odinga kuandaa kikao ikulu ya nairobi kabla ya ziara ya rais huko Kisumu, ambapo walihakikishia wafuasi kwambasalamu za heri zingalipo. Je, mkondo wa kupitia bunge kurekebisha katiba utaafikiwa?