12th May, 2021
Kisa cha kipekee kilichosimuliwa na runinga ya ktn news kuwahusu pacha wa Kakamega Melon Lutenyo na Sharon Mathias ambao walitenganishwa mwaka wa 1999 na baadaye wakakutana kwenye mtandao wa jamii mwaka wa 2019, wanatarajiwa kutengana tena kiutokana na matokeo ya mtihani wa KCSE. Mmoja wao alipta alama C+ na huku mwenzie akipata C.