.
11th May, 2021
Wakati shule zinapozidi kufunguliwa, changamoto kama za usafiri zinashuhudiwa kote nchini. Maeneo ya katikati ya jiji la Nairobi, wanafunzi walikongamana kwenye vituo vya mabasi tayari kuelekea shuleni. Hata hivyo, wauzaji vitabu wanasema wazazi hawajitokezi. Na kwenye baadhi ya shule, ulipaji karo tayari una changamoto.