Jackline Mwende apata haki baada ya miaka sita huku mahakama ikimfunga mume wake kwa miaka 30
9th February, 2021
Miaka sita baadaye hatimaye haki yatendeka kwa Jackline Mwende aliyegonga vichwa vya habari baada ya kupata majeraha ya uso na mikono yake yote miwili kukatwa na mumewe,katika kile kilichosemekana ni ugomvi wa nyumbani.