.
2nd February, 2021
Vita vya kupambana na virusi vya ukimwi vyazidi kuimarika kila uchao, hii ni baada ya shirika la afya duniani W.H.O kukubali utumizi wa pete ya uzazi itakayotumika kuwakinga wanawake dhidi ya kuambukizwa virusi hivyo. Pete hiyo huenda ikapunguza maambukizi ya virusi vya hiv ambavyo vimekuwa tishio kwa wengi anavyo elezea Beldeen Waliaula.