.
28th January, 2021
Naibu Rais William Ruto ameshambulia usemi wa kinara wa ODM kuhusu utendakazi wa serikali ya jubilee akimlaumu Odinga kuwa miongoni mwa sababu za hali ilivyo. akizungumza kwenye soko la burma, Nairobi, ruto anadai Odinga ameamua kuwahadaa wakenya akitumia kisingizio cha BBI. Hata hivyo, mkutano huo ulivurugwa mara kwa mara na kundi la vijana waliokuwa wakipiga mayowe.