.
9th December, 2020
Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewaapisha mawaziri 21 na manaibu mawaziri 23, wanaounda serikali ya awamu ya tano katika hafla iliyofanywa leo mjini Dodoma yalipo makao makuu ya taifa hilo. Rais Magufuli, anawaapisha mawaziri hao ili kuunda serikali, baada kushinda kwa asilima 84.4 katika uchaguzi mkuu wa oktoba 28.