×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mawaziri wapya wala kiapo nchini Tanzania, Rais Magufuli aongoza hafla hiyo

9th December, 2020

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewaapisha mawaziri 21 na manaibu mawaziri 23, wanaounda serikali ya awamu ya tano katika hafla iliyofanywa leo mjini Dodoma yalipo makao makuu ya taifa hilo. Rais Magufuli, anawaapisha mawaziri hao ili kuunda serikali, baada kushinda kwa asilima 84.4 katika uchaguzi mkuu wa oktoba 28.

.
RELATED VIDEOS