×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Tahadhari ya Korona: Viongozi wa kidini watoa msimamo, wataka mikutano ya kisiasa kusitishwa

18th November, 2020

Viongozi wa kidini wakiongozwa na Maaskofu na Masheikh katika eneo la magharibi mwa Kenya wamekongamana mjini Kakamega kujadili kuongezeka kwa kasi ya maambukizi na vifo vinavyotokana na virusi vya Korona katika kaunti ya Kakamega. Kwa kauli moja wakikubaliana kuwatimua waombolezaji wowote wanaozidi idadi ya mia mbili kwenye maziko, kupinga mikutano ya kisiasa pamoja na kutaka mikutano na siasa za Bbi zahirishwe hadi virusi vya Korona vipungue nchini.

.
RELATED VIDEOS