.
20th October, 2020
Serikali ya kenya imesema maandalizi ya kutolewa kwa kadi za mfumo wa kujumuisha taarifa za kila mtu maarufu huduma namba yamekalmilika. Kwa mujibu wa waziri wa masuala ya ndani DR. Fred Matiang’i kenya inasubiri bunge kuidhinisha jina la kamishna mteule atakayesimamia taarifa hizo muhimu, kwa kimombo data commissioner, kabla ya kutolewa rasmi kwa kadi na nambari hizo.