.
12th June, 2020
Kocha wa timu ya raga ya wachezaji saba kila upande paul
Feeney wametalakiana na shirikisho la raga nchini kru na
Kung’atuka ukufunzi.
Shirikisho hilo lilitoa habari za ndoa hii kutibuka
Leo.kulingana na kru, feeney aling’atuka mwisho wa aprili
Kutokana na janga la korona na kuomba kuwa nyumbani new
Zealand na familia yake.chini ya uongozi wake shujaa ilitwaa
Taji la raga la afrika jijini johannesburg,afrika kusini
Mwaka jana halikadhalika mashindano ya olimpiki jijini tokyo
Japan mwaka ujao.aidha walishamiri katika mashindano ya
Tusker safari sevens