Wakazi wa Eldama Ravine waandamana kupinga uuzaji wa pombe haramu
25th February, 2019
Wakazi wa Eldama Ravine waliandamana kupinga uuzaji wa pombe haramu. Wanadai kuwa zaidi ya watu mia mbili wamefariki tangu mwaka wa 2012 kutokana na unywaji wa pombe hiyo.