×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakfu wa Aga Khan kanda ya Pwani ikishirikiana Kaunti ya Lamu kuandaa maonesho ya taaluma

25th February, 2019

Wakfu wa Aga Khan kanda ya Pwani ikishirikiana na serikali ya Kaunti ya Lamu wameweza kuandaa maonesho ya taaluma mbalimbali ambazo zinapatikana katika vyuo vya ufundi jimboni humo. Akizungumza kisiwani amu naibu gavana wa kaunti ya lamu abdul hakim aboud amefurahishwa na maonesho hayo na kusema taaluma walizopata wanafunzi hao zitawasaidia kujikimu kimaisha sawia na kusukuma gurudumu la maendeleo mbele.

.
RELATED VIDEOS