×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Taifa la Thailand linatumia roboti kutoa dawa kwa wagonjwa | Teknohama

4th February, 2019

Uimarishaji wa huduma kwa wagonjwa wanaofika kwenye vituo vya afya unazidi kuboreshwa kila uchao. Na mojawapo ya njia za kuboresha huduma za matibabu ni kutumia teknolojia. Taifa la Thailand linatumia roboti kutoa dawa kwa wagonjwa mahospitalini.  Wadadisi wamaswala ya teknolojia wanasema kuwa hii ni njia mwafaka sana ya kupunguza makosa na kuhakikisha kuwa mteja anapata dawa alizoandikiwa na daktari. 

.
RELATED VIDEOS