.
3rd January, 2019
Wakazi wa Kaunti ya Tana River wamehimizwa kujiepusha na siasa za mgawanyiko wanaposhika shughuli zao za mwaka huo. Gavana wa tana river ambaye alikuwa akizungumza nyumbani kwake hola, dhadho godhana amesema salamu za kheri kati ya rais uhuru kenyatta na kiongozi wa odm raila odinga ni ishara tosha kuwa wakenya wanatakiwa kuishi kwa amani.