×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

TSAVO RUN: Mbio za Tsavo zimefanyika katika mbuga ya wanyama

8th December, 2018

Mbio za Tsavo mwaka huu katika mbuga ya wanyama ya Tsavo Magharibi zimefanyika leo. Mbio hizo ziliandaliwa na wakfu ya urithi wa tsavo kwa ushirikiano wa washikadau ikiwemo kampuni ya standard group na hoteli ya sarova. Mbio hizi zinakusudia kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira na kuchangisha pesa kwa mradi wa kusaidia kaunti zinazopakana na mbuga hiyo. Mwanahabari wetu sirajurahman abdullahi yuko katika eneo hilo na ametuandalia taarifa ifuatayo.

.
RELATED VIDEOS