.
20th October, 2018
Tarehe kama ya leo, miongo miwili iliyopita. Askari mmoja wa kulinda wanyama pori alitoweka kutoka mbuga ya Aberdare asiwahi kupatikana. Miaka ishirini baadaye, familia yake inamkumbuka na kumsherehekea kama shujaa. Familia hiyo imemkumbuka mpendwa wao kwa kumpeleka mwana wa kipekee wa askari huyo, katika eneo alikoonekana mwisho babaye. Mwanahabari wetu ibrahim karanja aliandamana na familia hiyo na kutuandalia taarifa hii yenye hisia mseto.