×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanaharakati Okiya Omutata ndiye shujaa wa Wakenya wengi

20th October, 2018

Okiya Omutata si mgeni machoni mwa wengi ? wengi wanamuita mtetezi wa raia katika maswala ya haki na sheria. Mwanaharakati huyu wa miaka 10 taaluma yake ni uhandisi kutoka chuo cha mafunzo anuai cha T.U.K. na wala sio sheria. Haya hapa makala yake yanayokueleza ni kwa nini wakenya wanamtaja kama shujaa wao kiasi cha kumchangia pesa za kukidhi mahitaji ya shughuli zake mahakamani.

.
RELATED VIDEOS