.
18th October, 2018
Chama cha mashirika ya uchapishaji vitabu kimejitokeza kuzungumzia mjadala ambao umekuwa ukiendelea kwa muda sasa, kuhusu dosari kwenye vitabu vya mtalaa mpya vinavyochapishwa na mashirikia mbalimbali.
Mwenyekiti wa chama hicho Lawrence Njagi, amesema kuwa baadhi ya michoro inayosambazwa si ya vitabu vya kenya na kuonya kuwa ipo njama ya kusambaratisha juhudi za kutoa mtaala mpya.