.
30th July, 2018
Bingwa wa dunia uzani wa chini katika ndondi mkanda wa WBC Judy Aguthi amesema kwamba yuko tayari kuzichapa na bingwa wa jumuiya ya madola anisha basheel katika mchezo wa kujiandaa kutetea ubingwa wake ambao utachezewa jijini Nairobi mwezi Septemba.