.
7th April, 2018
Chama cha Thirdway Alliance kinachoongozwa na aliyekuwa mwaniaji urais Ekuru Aukot sasa kinataka marekebisho ya katiba kupunguza idadi ya waakilishi wanaohudumu bungeni. hii ni kwa kutafuta sahihi milioni moja kutoka kwa wakenya. Aukot anasema, chama chake kinataka idadi ya wabunge, maseneta na waakilishi wa kike kupunguza kutoka idadi ya sasa ya 416 hadi 194.