.
19th November, 2016
Afisa mkuu mtendaji wa bodi ya filamu hapa nchini Ezekiel Mutua ametoa makataa ya siku saba kwa wanamuziki na haswa kutoka kwa jamii ya wakamba kubadilisha majina yao ya jukwaani kwani ni majina yanayopotosha maadili katika jamii. Akizungumza huko Embu, Mutua amesema kuwa kwa wale ambao hawatatilia maanani makataa hayo watachukuliwa hatua kali za kisheria.