×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakaazi wa Kuresoi washangilia ushindi wa Faith Chepngetich

17th August, 2016

Kijiji cha Ndabibit eneo bunge la Kuresoi kusini kaunti ya Nakuru, kinaendelea na sherehe za  ushindi wa msichana wao Faith Chepngetich Kipyegon katika mbio za mita 1500 kwenye mashindano ya olimpiki jijini Rio de Janeiro nchini Brazil. Wakaazi hao hatahivyo,wamelalama kwamba kijiji hicho bado hakijaunganishwa na nguvu za umeme kama anavyoarifu Victor Ogalle aliyewatembelea.

 

Faith Kipyegon anyakua dhahabu Rio

MKENYA Faith Chepng'etich Kipyegon amejishindia nishani ya dhahabu kwenye mbio za mita elfu moja mia tano akina dada, kwenye mashindano ya Olimpiki yanayoendelea jijini Rio, Brazil.

Faith ambaye ameishindia Kenya nishani ya tatu dhahabu kwenye mashindano hayo, amemshinda bingwa wa dunia, Genzebe Dibaba wa Ethiopia kwa kukamilisha mbio hizo kwa muda wa dakika nne sekunde nane.

Ushindi wa Kipyegon unajir

.
RELATED VIDEOS