Mshukiwa wa mauaji Geoffrey Matheri aponea kifo baada ya kupigwa na kundi la watu
2nd August, 2016
Geoffrey Matheri aliyefungwa jela kwa kupatikana na hatia ya kusababisha vifo, unajisi na kufyonza damu ya watu aliowazuilia aliponea kifo baada ya kupigwa na kundi la watu katika eneo la kinangop. Matheri ambaye amelazwa katika hospitali ya naivasha ameomba msamaha baada ya kubaini kwamba jamii ingali na hasira kufuatia visa vya udhalimu alivyohusika awali hussein mohammed anaarifu.